BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, August 3, 2009

T.I.D KUTOKA NA FILAMU YAKE YA JELA!!


Khalid Mohammed ‘TID’, anatarajia kuachia filamu yake mpya inayoelezea maisha yake ya jela.

TID aliyabainisha haya hivi majuzi na kusema kuwa anatarajia kurejea katika anga za filamu kwa kishindo.


Akielezea kuhusu filamu hiyo alisema itakuwa ikizungumzia kuhusu kosa alilolifanya na kumfanya apelekwe jela ikiwa ni pamoja na maisha halisi aliyokuwa akiyaishi huko jela.


“Ndoto ya kutoa historia ya maisha yangu jela katika filamu niliipata tangu nikiwa huko jela na nilipofika uraiani nimeamua kuikamilisha,” alisema TID.

No comments:

Post a Comment